Asili ya Muziki - Remy Ongala
Muziki asili yake wapi ee
[what is the origins of music]
Muziki ni wa nani ee
[who is the owner of music]
Muziki hakuna mwenyewe
[music has no owner]
Muziki ni mwito
[music is a calling]
Muziki ni fundisho
[music is a lesson]
Muziki maombolezo kilio
[music is mourning]
Usinione nikiimba
[do not see me singing]
Ukadhani ninayo furaha
[and assume i am happy]
Kumbe ninayo huzuni moyoni
[yet i have sadness in my heart]
Muziki ilivyo na nguvu ulimwenguni kote
[music has power all over the world]
Hata makanisani wanaimba
[even in churches they sing]
Kwa kumuabudu mungu
[to worship God]
Kwa kumsifu mungu
[to praise God]
Hata kukiwa sherehe za serikali
[Even during government functions]
Mbele ya mwenyekiti kuhutubia ee
[before chairman address gathering]
Ni muziki unaanza kuwakusanya watu
[its music that brings people together]
Kumbuka Paula na Sila
[Remember Paul and Silas]
waliimba gerezani mungu amewasikia
[they sang in prison and God heard them]
Kumbuka Musa aliimba muziki wa aina yake
[Remember Moses sang a unique song]
Kuwakomboa wana Israeli
[to liberate the children of Israel]
Walioko utumwani katika nchi ya Misri
[who were in bondage in Egypt]
Ukiwa na sherehe
[if you have a celebration]
utaimba nyimbo za furaha
[you will sing happy songs]
Ukiwa na taabu
[if you have problems]
utaimba nyimbo za masikitiko
[you will sing sad songs]
Ukifa leo
[if you die today]
utapelekwa kaburini
[you will be taken to the grave]
na nyimbo za maombolezo
[with mourning songs]
Ni muziki pekee uliyo na nguvu
[it is only music that has power]
Itawakusanya wabaya na wazuri
[it will bring together bad and good people]
Siku ya mwisho mungu akitoa hukumu
[on the day of judgement]
Hukumu
[judgement]
Muziki sio uhuni
[music is not criminal]
Kama muziki ni uhuni
[if music was criminal]
Kwanini unanunua kaseti
[why do you buy cassete]
Kama muziki ni uhuni
[if music was criminal]
kwa nini unaomba nyimbo redioni
[why do you make requests on radio]
Kanma muziki ni uhuni
[if music was criminal]
kwa nini unanunua rekodi
[why do you buy gramophones]
Kama muziki ni uhuni
[if music was criminal]
kwa nini unacheza muziki wee
[why do you play music]
kama muziki ni uhuni
[if music was criminal]
Kwa nini unafanya top ten show
[why do you make top ten shows]
Kumbuka siku ya mwisho ikifika ee
[remember on judgement day]
Kutakuwa mlio mmoja wa parapanda
[there will be a loud trumpet sound]
Itawakusanya wateule wote
[that will bring together all the chosen]
Walioteuliwa katika pembeni za dunia
[chosen from all corners of the world]
Siku ya mwisho mungu akitoa hukumu
[On judgement day]
hukumu
[judgement]
Hata kwa mungu malaika wanaimba oo
[even in heaven the angels are singing]
Muziki asili yake wapi ee
[what is the origins of music]
Muziki ni wa nani ee
[who is the owner of music]
Muziki hakuna mwenyewe
[music has no owner]
Muziki ni mwito
[music is a calling]
Muziki ni fundisho
[music is a lesson]
Muziki maombolezo kilio
[music is mourning]
Usinione nikiimba
[do not see me singing]
Ukadhani ninayo furaha
[and assume i am happy]
Kumbe ninayo huzuni moyoni
[yet i have sadness in my heart]
instrumental
Muziki asili yake wapi ee
[what is the origins of music]
Muziki ni wa nani ee
[who is the owner of music]
Muziki hakuna mwenyewe
[music has no owner]
Muziki ni mwito
[music is a calling]
Muziki ni fundisho
[music is a lesson]
Muziki maombolezo kilio
[music is mourning]
Usinione nikiimba
[do not see me singing]
Ukadhani ninayo furaha
[and assume i am happy]
Kumbe ninayo huzuni moyoni
[yet i have sadness in my heart]
https://www.youtube.com/watch?v=iXV1u-VJrg8
Comments
Post a Comment